Mbingu imeumbwa kwa nguvu, na si kwa mikono
KhamisSwali: Ni nguvu na sifa?
Jibu: Ndio, mkono ni sifa, na pia neno hilo hutumika kumaanisha neema na nguvu:
وَالسَّمَاءَ بَنَيْنَاهَا بِأَيْدٍ
”Mbingu Tumezijenga kwa nguvu.”[1]
Bi maana kwa nguvu.
وَاذْكُرْ عَبْدَنَا دَاوُودَ ذَا الْأَيْدِ
“Mkumbuke mja Wetu Daawuud mwenye nguvu.”[2]
Mwenye nguvu. Mwenye nguvu na uoni wa dini ya Allaah.
Swali: Aayah:
وَالسَّمَاءَ بَنَيْنَاهَا بِأَيْدٍ
”Mbingu Tumezijenga kwa nguvu.”
inafahamisha kuthibitisha mikono kwa Allaah?
Jibu: Hapa inamaanisha nguvu:
وَالسَّمَاءَ بَنَيْنَاهَا بِأَيْدٍ
”Mbingu Tumezijenga kwa nguvu.”
kwa nguvu. Allaah (´Azza wa Jall) ana mikono miwili:
بَلْ يَدَاهُ مَبْسُوطَتَانِ
“Bali mikono Yake imekunjuliwa.”[3]
Hivyo mikono miwili ni jambo tofauti na kilichokusudiwa hapa:
وَالسَّمَاءَ بَنَيْنَاهَا بِأَيْدٍ
”Mbingu Tumezijenga kwa nguvu.”
Bi maana kwa nguvu.
[1] 51:47
[2]38:17
[3] 05:64
https://firqatunnajia.com/mbingu-imeumbwa-kwa-nguvu-na-si-kwa-mikono/