Barabara za kase

Barabara za kase




⚡ KLIKNIJ TUTAJ, ABY UZYSKAĆ WIĘCEJ INFORMACJI 👈🏻👈🏻👈🏻

































Barabara za kase

Home

HABARI
KASEKENYA AAGIZA KUKAMILIKA BARABARA ZA MAINGILIO YA DARAJA LA KITENGULE

Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi (Sekta ya Ujenzi), Eng. Godfrey Kasekenya, amemtaka mkandarasi wa kampuni ya CHICO kukamilisha ujenzi wa barabara za maingilio ya Daraja la Kitengule linalounganisha wilaya za Karagwe na Misenyi mkoani Kagera ifikapo mwezi Mei, 2022. Ametoa agizo hilo mkoani Kagera, wakati akikagua ujenzi wa Daraja hilo lenye urefu wa mita 140 na barabara zake za maingilio zenye urefu wa kilomita 18 ambao kwa upande wa daraja limefikia asilimia 97.4 ya ujenzi na tayari magari yamekwisharuhusiwa kupita katika daraja hilo. “Mkandarasi, Msimamizi wa mradi na Wakala wa Barabara (TANROADS), hakikisheni ifikapo tarehe 26 mwezi Mei mwaka huu mnakabidhi hii barabara kwa kiwango cha lami”, amesisitiza Naibu Waziri huyo. Naibu Waziri huyo ameipongeza TANROADS kwa usimamizi wa daraja hilo ambalo kwa kiasi kikubwa utaongeza uzalishaji wa sukari katika Kiwanda cha Kagera na gharama ya uzalishaji itapungua kutokana na uwepo wa miundombinu wezeshi. “Serikali iliamua kulijenga hili daraja kwa makusudi kwa kuwa tuna uhitaji mkubwa wa sukari lakini pia kutazalisha sukari ambayo itakuwa ya bei chini kwasababu ya kupungua kwa gharama ya usafirishaji wake”, amefafanua Kasekenya. Kasekenya ameeleza mipango ya Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, kwa upande wa miundombinu ya barabara za kimkakati katika mkoa huo ambapo Serikali imekwisha tangaza zabuni kwa ajili ya kumpata mkandarasi wa barabara ya Omurushaka – Nkwenda – Kaisho – Murongo;sehemu ya Kyerwa - Omurushaka (km 50), Omugakorongo – Kigarama – Murongo (km 50), Bugene – Burigi – Chato - Kasulo/Benako (km 60) kwa ajili ya ujenzi kwa kiwango cha lami. Aidha, usanifu wa barabara ya sehemu iliyobaki ya Kitengule-Bunazi KM 25 ili kuziunganisha Wilaya za Misenyi na Karagwe unaendelea kwa ajili ya kujengwa kwa kiwango cha lami. Amesisitiza kuwa azma ya Serikali ni kufungua mkoa huo na mikoa jirani na pia kuunganisha nchi yetu Tanzania na nchi jirani za Uganda, Burundi na Rwanda kwa barabara za lami. Awali akitoa taarifa ya mradi, Meneja wa TANROADS mkoa wa Kagera Eng. Yudas Msangi, ameeleza kuwa mpaka sasa ujenzi wa barabara unganishi umefikia asilimia 76 na ameahidi kumsimamia kwa karibu Mkandarasi ili barabara hiyo ikamilike kwa muda uliopangwa. Naye, Meneja wa Mashamba ya Kiwanda cha Sukari cha Kagera upande wa Kitengule Bw. Libehat Emmanuel, amesema uwepo wa daraja la Kitengule ni msaada mkubwa katika kiwanda hicho kwa kuwa miwa mingi ilikwama kutokana na miundombinu wezeshi ya barabara na daraja na sasa wamekwisharuhusiwa kupita juu ya daraja na miwa yote imepelekwa kiwandani kwa ajili ya uzalishaji. Ameongeza kuwa uwepo wa daraja hilo na barabara unganishi utasaidia uaandaji wa mashamba ya sukari kwa upande wa Kitengule na Misenyi hadi kufikia ekta 16,500 ambayo itasaidia kuongeza uzalishaji wa sukari nchini hadi kufikia tani laki tatu (300,000), na hivyo kupunguza changamoto ya upungufu wa sukari nchini. Ujenzi wa Daraja la Kitengule lenye urefu wa mita 140 na barabara unganishi zenye urefu wa kilometa 18 unatekelezwa na mkandarasi CHICO na Mhandisi Mshauri Luptan kwa fedha za ndani kiasi cha shilingi Bilioni 25.5. Mhandisi Mshauri kutoka Kampuni ya Luptan inayosimamia ujenzi wa Daraja la Kitengule lenye urefu wa mita 140, Eng. Lucas Nyaki, akitoa taarifa kwa Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi (Sekta ya Ujenzi), Eng. Godfrey Kasekenya, wakati akikagua maendeleo yaliyofikiwa katika daraja hilo, mkoani Kagera. Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi (Sekta ya Ujenzi), Eng. Godfrey Kasekenya, akimsikiliza Mhandisi Mshauri kutoka Kampuni ya Luptan inayosimamia ujenzi wa Daraja la Kitengule lenye urefu wa mita 140, Eng. Lucas Nyaki, wakati alipofika kukagua ujenzi wa daraja hilo, mkoani Kagera. Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi (Sekta ya Ujenzi), Eng. Godfrey Kasekenya, akikagua ujenzi wa Daraja la Kitengule lenye urefu wa mita 140 na barabara unganishi zenye urefu wa KM 18 unaotekelezwa na mkandarasi CHICO na Mhandisi Mshauri Luptan kwa fedha za ndani kiasi cha shilingi Bilioni 25.5, mkoani Kagera. Magari ya Kiwanda cha Sukari cha Kagera yakipita juu ya Daraja la Kitengule lenye urefu wa mita 140 ambalo ujenzi wake umefikia asilimia 97.4. Daraja hilo linaunganisha Wilaya ya Misenyi na Karagwe mkoani Kagera. Muonekano wa sehemu ya barabara unganishi zenye urefu wa KM 18 pamoja na Daraja la Kitengule lenye urefu wa mita 140, mkoani Kagera. Muonekano wa Daraja la Kitengule lenye urefu wa mita 140 ambalo ujenzi wake


KUMBUKUMBU
August 2022 (649)
July 2022 (989)
June 2022 (895)
May 2022 (1015)
April 2022 (859)
March 2022 (1115)
February 2022 (813)
January 2022 (770)
December 2021 (822)
November 2021 (975)
October 2021 (1066)
September 2021 (1126)
August 2021 (892)
July 2021 (1105)
June 2021 (1064)
May 2021 (1015)
April 2021 (828)
March 2021 (797)
February 2021 (796)
January 2021 (865)
December 2020 (887)
November 2020 (627)
October 2020 (876)
September 2020 (993)
August 2020 (868)
July 2020 (922)
June 2020 (878)
May 2020 (808)
April 2020 (681)
March 2020 (991)
February 2020 (1096)
January 2020 (962)
December 2019 (952)
November 2019 (1059)
October 2019 (1145)
September 2019 (1004)
August 2019 (1013)
July 2019 (1236)
June 2019 (1158)
May 2019 (1055)
April 2019 (877)
March 2019 (1175)
February 2019 (998)
January 2019 (1071)
December 2018 (948)
November 2018 (1109)
October 2018 (1148)
September 2018 (946)
August 2018 (993)
July 2018 (1046)
June 2018 (982)
May 2018 (926)
April 2018 (847)
March 2018 (953)
February 2018 (970)
January 2018 (1003)
December 2017 (916)
November 2017 (1050)
October 2017 (1082)
September 2017 (946)
August 2017 (1120)
July 2017 (1199)
June 2017 (1135)
May 2017 (1126)
April 2017 (878)
March 2017 (1100)
February 2017 (1043)
January 2017 (1134)
December 2016 (1182)
November 2016 (1211)
October 2016 (1284)
September 2016 (1096)
August 2016 (1183)
July 2016 (1159)
June 2016 (1276)
May 2016 (1179)
April 2016 (1151)
March 2016 (1163)
February 2016 (1006)
January 2016 (1025)
December 2015 (1029)
November 2015 (851)
October 2015 (890)
September 2015 (1018)
August 2015 (974)
July 2015 (1002)
June 2015 (1095)
May 2015 (951)
April 2015 (848)
March 2015 (936)
February 2015 (810)
January 2015 (759)
December 2014 (954)
November 2014 (777)
October 2014 (995)
September 2014 (918)
August 2014 (917)
July 2014 (1122)
June 2014 (989)
May 2014 (1039)
April 2014 (915)
March 2014 (987)
February 2014 (1076)
January 2014 (815)
December 2013 (926)
November 2013 (979)
October 2013 (960)
September 2013 (938)
August 2013 (893)
July 2013 (810)
June 2013 (899)
May 2013 (1043)
April 2013 (795)
March 2013 (846)
February 2013 (741)
January 2013 (659)
December 2012 (801)
November 2012 (738)
October 2012 (688)
September 2012 (704)
August 2012 (821)
July 2012 (918)
June 2012 (893)
May 2012 (841)
April 2012 (653)
March 2012 (737)
February 2012 (603)
January 2012 (567)
December 2011 (649)
November 2011 (721)
October 2011 (864)
September 2011 (940)
August 2011 (889)
July 2011 (797)
June 2011 (762)
May 2011 (734)
April 2011 (499)
March 2011 (593)
February 2011 (480)
January 2011 (508)
December 2010 (524)
November 2010 (546)
October 2010 (368)
September 2010 (461)
August 2010 (457)
July 2010 (507)
June 2010 (526)
May 2010 (563)
April 2010 (568)
March 2010 (619)
February 2010 (517)
January 2010 (446)
December 2009 (516)
November 2009 (421)
October 2009 (377)
September 2009 (381)
August 2009 (404)
July 2009 (420)
June 2009 (371)
May 2009 (352)
April 2009 (424)
March 2009 (373)
February 2009 (347)
January 2009 (371)
December 2008 (356)
November 2008 (366)
October 2008 (367)
September 2008 (429)
August 2008 (300)
July 2008 (379)
June 2008 (359)
May 2008 (264)
April 2008 (356)
March 2008 (304)
February 2008 (384)
January 2008 (303)
December 2007 (335)
November 2007 (426)
October 2007 (410)
September 2007 (395)
August 2007 (271)
July 2007 (281)
June 2007 (335)
May 2007 (321)
April 2007 (325)
March 2007 (306)
February 2007 (360)
January 2007 (262)
December 2006 (266)
November 2006 (169)
October 2006 (209)
September 2006 (157)
August 2006 (207)
July 2006 (112)
June 2006 (122)
May 2006 (197)
April 2006 (207)
March 2006 (90)
February 2006 (86)
January 2006 (101)
December 2005 (51)
November 2005 (13)
October 2005 (14)
September 2005 (13)


Baraza la Mitihani Tanzania - NECTA limetangaza matokeo ya mitihani ya darasa la saba iliyofanyika September 9 na 10 mwaka huu ambapo mikoa...
BARAZA la Taifa la mitihani limetangaza matokeo ya kuhitimu elimu ya shule ya Msingi (PSLE 2019 Examination Result). BONYEZA HAPA K...
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Jumanne Maghembe akitangaza matokeo hayo Asilimia 80.73 ya wanafunzi 433,260 waliofaulu dara...
Matokeo Ya Upimaji Wa Kitaifa Ya Kidato Cha Pili (Ftna) 2018 Na Darasa La Nne (Sfna) 2018 Yametangazwa BOFYA HAPA KUANGALIA MATOKEO ...
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...
Na Said Mwishehe, Michuzi TVMZEE mwenye umri wa miaka 80 aliyefahamika kwa jina la Davis Mabeba amefariki dunia baada ya kwenda nyumba ya kulala wagen...
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, amewataka wana CCM mkoani Morogoro kuendeleza za umoja na mshik...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
akiwa na Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Mhe. Félix Antoine Tshisekedi Tshil...
 Taarifa ya familia imeeleza kuwa Marehenu Balozi Lweno amefariki leo alfajiri Hospitali ya Hindu Mandal jijini Dar es Salaam alikokuwa anapatiwa mati...
 Waziri wa Katiba na Sheria George Simbachawene akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kufanya ziara ya kikazi katika Taasisi Mafunzo ya Uan...


Home

HABARI
KASEKENYA AAGIZA UBORA WA BARABARA ZA KIGOMA



KUMBUKUMBU
August 2022 (649)
July 2022 (989)
June 2022 (895)
May 2022 (1015)
April 2022 (859)
March 2022 (1115)
February 2022 (813)
January 2022 (770)
December 2021 (822)
November 2021 (975)
October 2021 (1066)
September 2021 (1126)
August 2021 (892)
July 2021 (1105)
June 2021 (1064)
May 2021 (1015)
April 2021 (828)
March 2021 (797)
February 2021 (796)
January 2021 (865)
December 2020 (887)
November 2020 (627)
October 2020 (876)
September 2020 (993)
August 2020 (868)
July 2020 (922)
June 2020 (878)
May 2020 (808)
April 2020 (681)
March 2020 (991)
February 2020 (1096)
January 2020 (962)
December 2019 (952)
November 2019 (1059)
October 2019 (1145)
September 2019 (1004)
August 2019 (1013)
July 2019 (1236)
June 2019 (1158)
May 2019 (1055)
April 2019 (877)
March 2019 (1175)
February 2019 (998)
January 2019 (1071)
December 2018 (948)
November 2018 (1109)
October 2018 (1148)
September 2018 (946)
August 2018 (993)
July 2018 (1046)
June 2018 (982)
May 2018 (926)
April 2018 (847)
March 2018 (953)
February 2018 (970)
January 2018 (1003)
December 2017 (916)
November 2017 (1050)
October 2017 (1082)
September 2017 (946)
August 2017 (1120)
July 2017 (1199)
June 2017 (1135)
May 2017 (1126)
April 2017 (878)
March 2017 (1100)
February 2017 (1043)
January 2017 (1134)
December 2016 (1182)
November 2016 (1211)
October 2016 (1284)
September 2016 (1096)
August 2016 (1183)
July 2016 (1159)
June 2016 (1276)
May 2016 (1179)
April 2016 (1151)
March 2016 (1163)
February 2016 (1006)
January 2016 (1025)
December 2015 (1029)
November 2015 (851)
October 2015 (890)
September 2015 (1018)
August 2015 (974)
July 2015 (1002)
June 2015 (1095)
May 2015 (951)
April 2015 (848)
March 2015 (936)
February 2015 (810)
January 2015 (759)
December 2014 (954)
November 2014 (777)
October 2014 (995)
September 2014 (918)
August 2014 (917)
July 2014 (1122)
June 2014 (989)
May 2014 (1039)
April 2014 (915)
March 2014 (987)
February 2014 (1076)
January 2014 (815)
December 2013 (926)
November 2013 (979)
October 2013 (960)
September 2013 (938)
August 2013 (893)
July 2013 (810)
June 2013 (899)
May 2013 (1043)
April 2013 (795)
March 2013 (846)
February 2013 (741)
January 2013 (659)
December 2012 (801)
November 2012 (738)
October 2012 (688)
September 2012 (704)
August 2012 (821)
July 2012 (918)
June 2012 (893)
May 2012 (841)
April 2012 (653)
March 2012 (737)
February 2012 (603)
January 2012 (567)
December 2011 (649)
November 2011 (721)
October 2011 (864)
September 2011 (940)
August 2011 (889)
July 2011 (797)
June 2011 (762)
May 2011 (734)
April 2011 (499)
March 2011 (593)
February 2011 (480)
January 2011 (508)
December 2010 (524)
November 2010 (546)
October 2010 (368)
September 2010 (461)
August 2010 (457)
July 2010 (507)
June 2010 (526)
May 2010 (563)
April 2010 (568)
March 2010 (619)
February 2010 (517)
January 2010 (446)
December 2009 (516)
November 2009 (421)
October 2009 (377)
September 2009 (381)
August 2009 (404)
July 2009 (420)
June 2009 (371)
May 2009 (352)
April 2009 (424)
March 2009 (373)
February 2009 (347)
January 2009 (371)
December 2008 (356)
November 2008 (366)
October 2008 (367)
September 2008 (429)
August 2008 (300)
July 2008 (379)
June 2008 (359)
May 2008 (264)
April 2008 (356)
March 2008 (304)
February 2008 (384)
January 2008 (303)
December 2007 (335)
November 2007 (426)
October 2007 (410)
September 2007 (395)
August 2007 (271)
July 2007 (281)
June 2007 (335)
May 2007 (321)
April 2007 (325)
March 2007 (306)
February 2007 (360)
January 2007 (262)
December 2006 (266)
November 2006 (169)
October 2006 (209)
September 2006 (157)
August 2006 (207)
July 2006 (112)
June 2006 (122)
May 2006 (197)
April 2006 (207)
March 2006 (90)
February 2006 (86)
January 2006 (101)
December 2005 (51)
November 2005 (13)
October 2005 (14)
September 2005 (13)


Baraza la Mitihani Tanzania - NECTA limetangaza matokeo ya mitihani ya darasa la saba iliyofanyika September 9 na 10 mwaka huu ambapo mikoa...
BARAZA la Taifa la mitihani limetangaza matokeo ya kuhitimu elimu ya shule ya Msingi (PSLE 2019 Examination Result). BONYEZA HAPA K...
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Jumanne Maghembe akitangaza matokeo hayo Asilimia 80.73 ya wanafunzi 433,260 waliofaulu dara...
Matokeo Ya Upimaji Wa Kitaifa Ya Kidato Cha Pili (Ftna) 2018 Na Darasa La Nne (Sfna) 2018 Yametangazwa BOFYA HAPA KUANGALIA MATOKEO ...
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Home Mchanganyiko KASEKENYA: AHADI ZOTE ZA SERIKALI KUTEKELEZWA


Baadhi ya Washiriki wa Michezo ya Wakuu wa Majeshi ya Polisi kusini mwa Afrika (SARPCCO) yaliyayofanyika katika jiji la Windhoek nchini Namibia mwaka 2013...
Muonekano wa Daraja la Msingi (m 100), ambalo ni kiungo muhimu kwa wakazi wa Wilaya ya Mkalama na Iramba, mkoani Singida. Ujenzi wa daraja hilo umefikia asilimia 98 na unagharimu kiasi cha shilingi Bilioni 10.9.
Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, (Sekta ya Ujenzi), Eng. Godfrey Kasekenya, akizungumza na mkandarasi mzawa wa Kampuni ya Gemin Engineering, anayejenga Daraja la msingi (m 100) na barabara za maingilio (km 1), mkoani Singida
Meneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS), mkoa wa Singida, Eng. Matari Masige, akifafanua jambo kwa Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, (Sekta ya Ujenzi), Eng. Godfrey Kasekenya, wakati alipokuwa akikagua ujenzi wa Daraja la Msingi (m 100), mkoani Singida.
Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, (Sekta ya Ujenzi), Eng. Godfrey Kasekenya, akikagua kingo za Daraja la Msingi (m 100), ambao ujenzi wake umefikia asilimia 98, mkoani Singida. Daraja hilo ni kiungo muhimu kwa mkoa wa Singida na Simiyu.
Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi imesema ahadi zote zilizotolewa kupitia Ilani, bajeti na maelekezo ya viongozi wa kitaifa za ujenzi wa miundombinu ya barabara na madaraja walizozitoa katika ziara mbalimbali nchini zinatekelezwa kwa wakati na ubora ili kusaidia kuchochea maendeleo ya kiuchumi, kijamii na Taifa kwa ujumla.
Hayo yamesemwa mkoani Singida na Naibu Waziri wa Wizara hiyo anayesimamia Sekta ya Ujenzi, Eng. Godfrey Kasekenya, alipokuwa akikagua utekelezaji wa ujenzi wa Daraja la Msingi lenye urefu wa mita 100 na barabara za maingilio zenye urefu wa kilometa moja kwa kiwango cha lami ambao ujenzi wake umefikia asilimia 98.
Naibu Waziri Kasekenya amesema kuwa ujenzi wa daraja hilo ni moja ya ahadi ya Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, kwa wakazi wa mikoa ya Singida na Simiyu na sasa lipo katika hatua za mwisho.
“Nimefika hapa kujionea kazi zinazoendelea na nimeridhika na kazi zilizofikiwa katika daraja hili la msingi ambalo ni kiungo muhimu sana kwa wakazi wa wilaya ya Mkalama na Iramba”, amesisitiza Eng. Kasekenya.
Aidha, Eng. Kasekenya amesema kukamilika kwa daraja hilo kutapunguza umbali wa safari kwa kilomita 200 kwa magari yanayopita Singida kuelekea mikoa ya Simiyu na Mara badala ya kupita njia ya Mwanza.
Naibu Waziri Kasekenya ameeleza kuwa madhumuni ya daraja hili ni pamoja na kuwaondelea wananchi kero ya usafiri wa barabara waliokuwa wanaipata kutokana na daraja la vyuma la zamani lililokuwa la muda kuwa jembamba na kuleta adha ya usafiri na usafirishaji.
Ameongeza kuwa usanifu wa barabara hiyo ya mkoa inayoanzia Ulemo – Gumanga – Sibiti inaendelea kufanyiwa usanifu wa kina na Wakala wa Barabara (TANROADS) kwa ajili ya kuanza ujenzi kwa kiwango cha lami.
“Lengo la Serikali ni kuhakikisha inaunganisha barabara za mikoa kwa mikoa kwa kiwango cha lami na kwa hii barabara tumekamilisha madaraja makubwa mawili ya Sibiti na Msingi na sasa usanifu wa barabara unaendelea kwa ajili ya kuweka lami”, amefafanua Naibu Waziri huyo
Kwa upande wake, Meneja wa TANROADS, mkoa wa Singida Eng. Matari Masige, ameeleza kuwa Daraja la Msingi linatekelezwa na mkandarasi mzawa kampuni ya Gemin Engineering kwa gharama ya shilingi Bilioni 10.9 na mradi unatarajiwa kukamilika ifikapo mwezi June, 2022.
Ameongeza kuwa ujenzi wa daraja hilo unafanyika tak
Viola posuwa się zabawką
Napalone mamuśki chcą zrobić loda
Chemiczka rozkłada przed nim nogi

Report Page