029 SWALAH ZA 'IYD MBILI
i live islam
"Alikuwa (صلى الله عليه وآله وسلم)akisoma (mara nyingine) katika Rakaa ya kwanza
سَبِّحِ اسْمَ رَبِّكَ الْأَعْلَى
((Litakase jina la Mola wako Aliye juu kabisa))[Al-A'laa 87: 19], na katika Rakaa ya pili:
هَلْ أَتَاكَ حَدِيثُ الْغَاشِيَةِ
((Je! Imekufikia khabari ya msiba wa kufudikiza?)) [88: 26] [1]. Na mara nyingine "alikuwa akisoma katika hizo Rakaa mbili:
ق وَالْقُرْآنِ الْمَجِيدِ
((Qaaf, Naapa kwa Qur-aan Tukufu))[Qaaf 50: 45], na
اقْتَرَبَتِ السَّاعَةُ وَانشَقَّ الْقَمَرُ
((Saa imekaribia na mwezi umepasuka)) [Al-Qamar 54: 55][2].
[1] Muslim na Abu Daawuud.
[2] Muslim na Abu Daawuud.