015-Kutoa Zakaah: Kutoa Panapowajibika

015-Kutoa Zakaah: Kutoa Panapowajibika

i love islam

Kutoa Panapowajibika

 

Inawajibika kuitoa Zakaah wakati wake unapowadia, na haijuzu kuichelewesha isipokuwa kwa dharura inayokubalika.

Kutoka kwa Bibi ‘Aaishah (Radhwiya Allaahu 'anhaa) amesema kuwa; Mtume (Swalla Alaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) amesema:

"Haichanganyiki mali pamoja na Zakaah isipokuwa itaiangamiza", na katika riwaya nyingine;

"Inakuwa ishakuwajibikia katika mali yako kuitolea Zakaah, kisha usiitoe, kwa hivyo (mali ya) haramu (isiyotolewa Zakaah) inaiangamiza (mali ya) halali".

[Ash-Shaafi’iy na Al-Bukhaariy katika 'At-Taariykh']

 

Report Page