FRIDAY
πΉRATIBA YA IJUMAA π
1. KESHA LA ASUBUHI
Kuanzia saa kumi na Mbili hadi saa Moja (6:00 - 9:00 am)
π¨βπ©βπ§βπ¦ Kila Ijumaa ni siku maalum kwa ajili ya kushughulikia na kujifunza juu ya:- Mahusiano, Uchumba, Ndoa na Familia
2. MAFUNDISHO
Kuanzia saa Tatu (9:00 am)
3. MAHITAJI/MAOMBEZI
Saa Moja hadi Mbili (7:00 - 8:00)
β Unaweza kuandika mahitaji yako ili tuyaombee wote kwa pamoja.
4. MAFUNDISHO
Saa Mbili hadi saa Tatu usiku (8:00 - 9:00 pm)
5. KESHA LA USIKU NA MALIZA SIKU NA KRISTO YESU.
Saa Tatu hadi Nne usiku (9:00-10:00 pm)
Zingatia ratiba. Mafundisho yanapoanza kusipostiwe chochote.
Damu ya Yesu inene mema juu yako. Walete na wengine kwenye group/ madhabahu ya Maombezi washiriki hizi baraka.
Kuanzia saa Nne usiku hadi Kumi na Moja, lugha ya English itatumika. Kiswahili ni mpaka tena kesho kuanzia saa 6:00 asubuhi hadi Nne usiku. Amen
Maombezi/ Prayers
βͺοΈ (Online Church) π³