SELELEKO

SELELEKO

abuu

UKIMWI ni nini?

Neno UKIMWI ni kifupi cha maneno: Upungufu wa Kinga Mwilini. Tumeambiwa ni ugonjwa unaotokana na virusi vya UKIMWI (V.V.U) au Human Immunodeficiency Virus (H.I.V) kwa lugha ya kikoloni.



Tumefundishwa kuwa virusi hao wakiingia katika damu ya binadamu huenda kuishi katikati ya seli na kuzidhuru chembe chembe hai nyeupe za damu ambazo ndizo huhusika na kinga ya mwili na hivyo kumuweka mhusika katika hali ya kupatwa na magonjwa mengi nyemelezi zaidi ya 30 na kuwa hadi sasa hakuna dawa inayoweza kutibu virusi hivyo au kwa maneno mengine UKIMWI hauna dawa!



Tumefundishwa kuwa virusi vya UKIMWI vinaweza kuambukizwa toka kwa mtu mmoja hadi mwingine kwa sehemu KUBWA kupitia tendo la ndoa ambapo damu ya aliyeathirika na virusi hivi ikikutana na ambaye hajaathirika wakati huo wa tendo la ndoa basi virusi navyo humwingia mtu huyo, njia nyingine ni kwa kushirikiana vifaa vyenye ncha kali kama vile nyembe, sindano, mikasi na kadharika, nyingine ni mama mjamzito kumwambukiza mwanaye wakati wa kujifungua au anaponyonyesha, mgonjwa aliyechangiwa damu yenye virusi na kadharika.



Tangu kuanza kutangazwa kwa ugonjwa huu mwanzoni mwa miaka ya 1980 maelfu ya watu wamekufa duniani kote huku mamilioni wengine wakisemwa wanaendelea kuishi kwa matumaini wakitumia dawa za kupunguza makali kundi la ARV’s.



Hivyo ndivyo tulivyofundishwa na kuaminishwa kuhusu UKIMWI.



                                                           



Je ni kweli UKIMWI husababishwa na virusi vya UKIMWI?

Ingawa kwa miaka mingi tumefundishwa kuwa UKIMWI husababishwa na virusi vya ukimwi (v.v.u) ukweli ni kuwa jambo hilo si la kweli na hapa chini tutaona sababu 10 za kisayansi zinazoeleza kwanini virusi vya ukimwi/HIV vilivyo havina uwezo wa kusababisha ukimwi mwilini au hata ugonjwa mwingine wowote.



SABABU 10 ZA KISAYANSI KWANINI HIV/VVU HAVIWEZI KUSABABISHA UKIMWI/AIDS:



“Kile kila mtu anajua na kukiamini” wakati mwingine kinaweza kuwa si cha kweli. Yanapokuja masuala yanayohusiana na sayansi, ikiwa ni pamoja na sayansi ya matibabu, historia inaweza hata kupendekeza kwamba kile kila mtu anajua wakati wowote kinaweza kugeuka baadaye na kuwa siyo sahihi kwa kiwango fulani: ufahamu wa kisayansi umeongezeka, na pamoja na kuendelea huko kwa sayansi, mara nyingi maendeleo hayo yametokea kwa kupindua nadharia zilizotangulia.



Lakini pamoja na kutambua kuwa sayansi imezidi kupaa, huku kila mmoja akiamini hivyo, mara nyingi watu wamesahau kwamba maendeleo hayo yametokana na kukanusha au kupindua nadharia zilizokubalika kabla za kisayansi. Na dhana kwamba nadharia iliyotangulia yaweza kuwa si sahihi, inaweza kuchelewa sana kukubaliwa na watu wengi.



Hivyo madai kwamba Virusi Vya Ukimwi (VVU/HIV) havina uwezo wa kusababisha UKIMWI mwilini, wakati kila mtu anajua kwamba virusi hao husababisha UKimwi, yanachukuliwa na vyombo vya habari, umma, na sayansi tawala kama si vitu vya kuvitilia mkazo. Hata hivyo ushahidi kwamba HIV haiwezi kuwa sababu ya UKIMWI umejitokeza katika maandiko ya kisayansi, na katika dazani kadhaa za vitabu, tovuti na video zikielekezwa kwa sehemu kubwa moja kwa moja kwa umma.



Ni vema kutozingatia kutoa tu ushuhuda kwamba V.V.U havisababishi UKIMWI, bali mhimu iwe kutoa maelezo mhimu na ya kweli mbadala ya kutosha kufafanua UKIMWI (AIDS) ni nini na VVU (HIV) ni nini.



Hivyo majibu ya aya hiyo hapo juu yanatakiwa kuonesha kwanini nadharia inayosema VVU (HIV) = UKIMWI (AIDS) ilivyo si sahihi.

Report Page